Saturday, May 19, 2012

Mgeni rasmi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Inspekta Jenerali Said Mwema akikata utepe kuzindua huduma ya X-ray katika Hospitali kuu ya Polisi iliyopo barabara ya kilwa, kurasini jijini Dar es Salaam.

Mgeni rasmi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Inspekta Jenerali Said Mwema akikagua machine ya miozi (x-ray) mara baada ya kuzindua huduma hiyo katika hospitali kuu ya Polisi barabara ya kilwa kurasini jijini Dare s salaam.

Kikundi cha sanaa cha Jeshi la Polisi kikitumbuiza kusherehesha hafla ya uzinduzi wa huduma ya x-ray katika hospitali kuu ya Polisi barabara ya kilwa kurasini jijini Dar es salaam

Takwimu za Ajali Tangu 1977-2010
AJALI ZA BARABARANI,VIFO NA MAJERUHI KUANZIA MWAKA
      1977 -2011 JAN - SEP.  
MWAKA AJALI VIFO MAJERUHI
1977 6410 878 6051
1978 7625 760 5556
1979 6209 1016 5193
1980 7865 954 6381
1981 9272 960 6126
1982 7034 843 5897
1983 6494 927 6126
1984 7082 1021 6670
1985 8119 1071 7613
1986 7596 1062 7375
1987 9674 1117 7937
1988 9538 1256 9283
1989 9925 1080 8137
1990 10107 1059 9910
1991 10611 1129 10249
1992 11865 1367 11406
1993 12495 1483 11513
1994 13781 1548 12377
1995 13747 1663 12625
1996 14050 1809 12515
1997 14335 1625 12490
1998 12234 1583 11381
1999 13478 1612 12845
2000 14548 1441 14094
2001 13877 1866 12567
2002 15490 1994 15150
2003 16664 2155 16825
2004 17037 2366 17231
2005 16388 2430 16286
2006 17677 2884 15676
2007 17753 2594 16308
2008 20615 2905 17861
2009 22739 3223 19263
2010 24665 3582 20656
2011 18733 3062 16179