Mgeni rasmi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Inspekta Jenerali Said Mwema akikata utepe kuzindua huduma ya X-ray katika Hospitali kuu ya Polisi iliyopo barabara ya kilwa, kurasini jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Inspekta Jenerali Said Mwema akikagua machine ya miozi (x-ray) mara baada ya kuzindua huduma hiyo katika hospitali kuu ya Polisi barabara ya kilwa kurasini jijini Dare s salaam.
Kikundi cha sanaa cha Jeshi la Polisi kikitumbuiza kusherehesha hafla ya uzinduzi wa huduma ya x-ray katika hospitali kuu ya Polisi barabara ya kilwa kurasini jijini Dar es salaam
| Kusajili Shule za Udereva |
|
USAJILI WA MKUFUNZI WA SHULE ZA UDEREVA
Makosa ambayo mwalimu wa madereva anaweza kunyang’anywa leseni.
Ikumbukwe kwamba leseni hii itakuwa halali hadi hapo itakapositishwa na Jeshi la Polisi, au iwapo atakiuka Sheria ya Usalama Barabarani.
|